JamiiAfrikaMawaidha ya Eid ul Adha na Sheikh Izudin Alwi To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaAmina Abubakar27.05.202627 Mei 2026Eid Ul Hajj ana Eid ul Adha huadhimishwa kila mwaka baada ya waumini wa kiislamu kukamilisha ibada ya Hijja mjini Mecca Saudi Arabia. Sheikh Izudin anasema sherehe ni muhimu, lakini iendane na mafundisho ya Mwenyezi Mungu.https://p.dw.com/p/5ENvkMatangazo