1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mauaji yasiyo ya kukusudia ya makampuni

Iddi Ssessanga
29 Juni 2017

Mbiu ya Mnyonge inalilia jijini London ambako ghadabu zilitanda kufuatia maafa makubwa yaliyosababishwa na mtoto uliozuka katika jengo la ghorofa la Grenfell Tower na kugharimu maisha ya watu 80 huku wengine wengi wakiwa bado hawajulikani walipo. Mohamed Dahman anaangazia kilio cha waathirika wa janga hilo.

https://p.dw.com/p/2fcIQ