16 Septemba 2021
Matangazo
Miongoni mwa hao wapo mwandishi habari Cassien Ntamuhanga, aliyeuwawa Mei na hivi karibuni kabisa, Jumatatu aliyekuwa kiongozi wa wakimbizi Revocant Karemangingo. Kuhusu suala hilo, Sudi Mnette amezungumza na Ali Abdulkarim anaeishi mjini London, Uingereza, ambaye anazifahamu siasa za Rwanda.