Katika jiji la Nairobi nchini Kenya, kundi moja linatumia taka za plastiki zikiwemo chupa zinazotupwa ovyoovyo kutengeneza matofali yanayotumika katika miradi mbalimbali ya ujenzi. Ni hatua inayosaidia kupungvuza uchafuzi wa mazingira, inazalisha bidhaa muhimu katika ujenzi kwa bei nafuu huku ikibuni nafasi za ajira. Shisia Wasilwa anasimulia mengi zaidi.