Biden kutoa dola 100 kwa kila atakapigwa chanjo ya COVID-19/ Kenya: Muungano wa upinzani, NASA wasambaratika/ Waziri Mkuu wa mkoa wa KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini Sihle Zikalala, ametangaza hali ya janga katika eneo hilo /Marekani na UN kushinikiza misaada kuingia Tigray/Burundi imekaribisha wadau wanao taka kuleta chanjo dhidi ya Covid 19