1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 28.02.2021

Amina Mjahid
28 Februari 2021

Watu watano wameuwawa katika makabiliano ya polisi Myanmar, Wanaharakati 47 wakamatwa kwa makosa ya kufanya uasi Hong Kong na Rais wa Marekani Joe Biden kutoa tamko kuhusu Saudi Arabia siku ya Jumatatu

https://p.dw.com/p/3q1p0