1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 18.09.2021

Sudi Mnette
18 Septemba 2021

Jumuiya ya Mataifa ya Ushirkiano wa Kiuchumi ya Afrika Magharibi, ECOWAS leo hii imesema rais aliyepinduliwa wa Guinea, Alpha Conde, ambae amewekwa kizuizini tangu mapinduzi dhidi yake mapema mwezi huu anaendelea vyema.

https://p.dw.com/p/40UhT