Afghanistan: Taliban wamechukuwa udhibiti wa mji mkuu wa jimbo la kusini la Kandahar/ Kenya: Muungana wa kisiasa wa eneo la mlima Kenya/ Jeshi ya Congo limewashambulia vikali waasi wa kundi la kigaidi ADF/ Shughuli ya kuhesabu kura inaendelea nchini Zambia / Miaka 60 tangu kuanza kujengwa kwa ukuta wa Berlin