1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 12.09.2020

Sudi Mnette
12 Septemba 2020

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amezitaka pande hasimu nchini Afghanistan kufanikisha fursa ya makubaliano ya amani baina ya pande hizo katika mkutano wao unaoanza leo nchini Qatar.

https://p.dw.com/p/3iNYl