Afghanistan: Taliban inasema Marekani imekubali kutoa msaada wa kibinaadamu kwa watu wenye uhitaji mkubwa/ Merkel amesema suala ya usalama wa Israel litaendelea kupewa kipaumbele/ Uadimisho wa siku ya mtoto wa kike duniani/ Mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola mjini Beni, Congo/ Serikali ya Kenya imezindua mpango wa kununua mifugo kutoka kwa wafugaji