SiasaMatangazo ya mchana 08.08.2021To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasadw08.08.20218 Agosti 2021Mji wa Kunduz Afghanistan umekamatwa na wapiganaji waTaliban. Iran imesema imekubali kurudi tena kwenye mazungumzo ya makubaliano ya nyuklia. Na Kisiwa cha Ugiriki cha Evia chawaka moto kwa siku ya sita.https://p.dw.com/p/3yiRlMatangazo