1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 05.08.2021

SK2 / S02S5 Agosti 2021

Tanzania: Freeman Mbowe ashindwa kufikishwa mahakamani kutokana na sababu za kiufundi/ Mamlaka za Uganda leo zimethibitisha kukamatwa kwa mwanablogu maarufu Fred Lumbuye/ USAID: Samantha Power ameelezea wasiwasi juu ya kauli za kudhalilisha zinazotumiwa na viongozi wa Ethiopia/ Syria yatakiwa kutoa taarifa kuhusu silaza zake za sumu/ Moto wa msituni watishia miundombinu Ugiriki na Uturuki

https://p.dw.com/p/3yZsf