China yavurumusha makombora katika luteka za kijeshi karibu na Taiwan/ Kenya yadhamiria kudhibiti vurugu za uchaguzi/ Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeamua kumfukuza msemaji wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo/ UN yataka kukagua kinu cha nyuklia cha Ukraine