Kenya: Naibu wa Rais Kenya Ruto azuiwa kwenda Uganda/ Kongo: Watu kadhaa wamekufa katika ajali ya boti iliyotokea kwenye Ziwa Tanganyika/ Umoja wa Mataifa limeunda jukwaa jipya la watu wenye asili ya Afrika/ Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amemtambulisha rasmi Ebrahim Raisi kuwa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/Umoja wa Mataifa waikosoa Myanmar kuhusu demokrasia