Shirika la WFP latoa tahadhari juu ya kutokea kwa janga la kibinadamu nchini Afghanistan, rais Joe Biden amshukuru Mrithi wa kiti cha Ufalme wa Abu Dhabi, Sheikh Mohammed Bin Zayed al- Nahyan kwa msaada nchini Afghanistan na rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy ataka ufafanuzi zaidi kuhusu kile kitakachotokea baada ya kumalizika kwa mkataba wa usafirishaji gesi kati yake na Urusi mnamo mwaka 2024