Jeshi nchini Uganda pamoja na polisi wamemkamata mgombea urais wa chama cha upinzani NUP, Robert Kyagulanyi// Mlipuko mkubwa umeutikisa uwanja wa ndege katika mji wa kusini mwa Yemen wa Aden leo Jumatano// Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi ameendelea na juhudi zake za kutafuta ushawishi wa viongozi na vyama vya siasa