1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 28.10.2017

Yusra Buwayhid
28 Oktoba 2017

Kiongozi wa jimbo la Catalonia ahimiza upinzani wa kidemokrasia baada ya kujitangazi uhuru hapo jana. Hali yatulia nchini Kenya kufuatia fujo za uchaguzi wa marudio. Waziri wa ulinzi wa Marekani James Mattis amesema kitisho cha nyuklia cha Korea Kaskazini chaongezeka.

https://p.dw.com/p/2mgAz