Viongozi wa dini Tanzania kupigia chapuo chanjo ya Covid-19/ Mashirika ya haki za binadamu yatoa wito wa majadiliano Tanzania/ Kenya: Majaji wakutana kujadili uhuru na uadilifu wa mahakama/ Marekani na Urusi za zungumza kuhusu udhibiti wa silaha mjini Geneva/Dunia leo imeadhimisha miaka 70 ya mkataba wa kimataifa wa kuwalinda wakimbizi