Maandamano yaendelea Hong Kong licha ya polisi kujaribu kuyatawanya// Iran yapinga pendekezo la kuanzishwa kikosi cha walinzi wa bahari katika Guba ya uajemi// Na Rasi wa Ufaransa Emmanuel Macron atakutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kabla ya mkutano wa G7 mwezi Ujao