Tanzania: Siku 100 tangu Rais wao Samia Suluhu Hassan aingie madarakani/ Liberia wataka kuundwa korti ya uhalifu nchini humo/ Mwanaharakati wa haki za binadamu Palestina Nizar Banat afariki/ Rais Joe Biden akutana na Ashraf Ghani wa Afghanistan/ Kenya; Tejveer Rai,dereva wa mbio za magari, asafirishwa kupokea matibabu/ Aliyekuwa mchambuzi DW Padri Privatus Karugendo afariki dunia