Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amekutana leo na waziri mkuu wa India Narendra Modi na kujadili kuhusu biashara na nishati, katika ziara inayolenga kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizo mbili. Iran yasema hatua zozote kuhusu Hormuz zinapaswa kukubaliwa na mataifa yanayopakana na ujia huo wa bahari na sio Marekani.