Zaidi ya watu 600 wamekufa kutokana na kimbunga Idai katika nchi tatu za kusini mashariki mwa Africa. Trump aiondolea vikwazo Korea Kaskazini. Watu zaidi ya watano wauawa kwenye shambulio la kigaidi nchini Somalia. Wapinzani wa Brexit wataka kura nyingine a maoni.