Uturuki kupinga Finland na Sweden kuwa wanachama wa Jumuiya ya Kujihami NATO/ Kansela wa zamani wa Ujerumani, Gerhard Schroeder ameondolewa rasmi stahiki na marupurupu yake/ Uchunguzi wa Sayansi ya China” / Tanzania na Serikali ya Mapinguzi ya Zanzibar zimeanzisha kampeni ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa kupooza, Polio kwa watoto/ Wanasiasa wanawake DRC wakabiliwa na changamoto lukuki