Uturuki yafanya mazungumzo na pande zote Afghanistan/ Kongo:Takribani siku 100 zimepita tangu kuwekwa rasmi kwa serikali ya kijeshi katika mikoa ya kivu/ Kenya: muungano wa OKA utakuwa na mgombea mmoja wa urais mwaka 2022/Siasa za Libya zinavyochangia kuongezeka kwa wahamiaji wanaotaka kwenda barani Ulaya/ Rais mteule wa Zambia Hakainde Hichilema ashtumu utawala wa serikali inayoondoka