Tanzania: Rais Samia ataka kuona vyama vya siasa vikifanya kazi zake kwa kuzingatia sheria/ Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema serikali yake itapambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi/ Marekani na Iran zahimizwa kurejelea makubaliano ya nyuklia/ Mahakimu na waendesha mashtaka nchini Rwanda ndio wamepokea kiasi kikubwa cha rushwa