1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni : 06.11.2016

SK2 / S02S6 Novemba 2016

Tuliyo nayo jioni hii : Rais wa Ujerumani Joachim Gauck amesema anatiwa wasiwasi na uwezekano wa Donald Trump kuwa Rais wa Marekani // Uturuki yaishutumu Ulaya kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi // Ujerumani yataka wahamiaji wanaookolewa baharini kurejeshwa Afrika.

https://p.dw.com/p/2SF8R