ASEAN: Kushirikiana kuzuia kitisho chochote cha usalama Afghanistan/ Hezbollah yarusha makombora kulipiza mashambulio ya Israeli/Viongozi wa Tigray wapuuza miito ya kuondoka mjini Lalibela/ Afrika Kusini imesema chanjo ya Johnson & Johnson imeonyesha ufaisi mkubwa dhidi ya virusi vya corona/ Utawala kuwafutia mashtaka waandamanaji Myanmar