Rais Samia wa Tanzania akamilisha ziara ya Rwanda/ Naibu rais wa Kenya William Ruto azuiliwa kusafiri kwenda nchini Uganda/ Jeshi la Afghanistan limewataka raia kuondoka kwenye mji wa Lashkar Gah/ Tanzania yaanza kutoa chanjo ya virusi vya corona kwa ngazi ya taifa/ Wapalestina waukataa uamuzi wa Mahakama ya Israel