Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Karibu katika matangazo ya asubuhi ya DW Kiswahili
Tuma Facebook Twitter Whatsapp Web EMail Telegram Facebook Messenger Web
Kiungo https://p.dw.com/p/3pKdC
Mamia ya waandamanaji wamejitokeza katika barabara za Nairobi kupaza sauti zao kwa serikali ya Rais Uhuru Kenyatta, wakipinga mradi wa mkaa wa mawe katika kaunti ya Lamu.