Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May aponea kura ya kutokuwa na imani na serikali yake//Kundi la kigaidi la al-Shabaab lasema shambulizi la Kenya ni jibu kwa Rais Trump kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel//Na Umoja wa Mataifa waidhinisha kutumwa kwa waangalizi Yemen kama hatua ya usitishwaji wa mapigano.