Rais wa Marekani Joe Biden ahutubia mkutano wa kimataifa kuhusu usalama wa mjini Munich. Siku tatu baada ya kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Wazanzibari wanatafakari hali itakuwaje siku za usoni. Niger kumchagua rais mpya siku ya Jumapili wakati ambapo rais wa sasa Mahamodou Issoufou, anakamilisha mihula yake miwili.