1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 20.02.2021

Zainab Aziz
20 Februari 2021

Rais wa Marekani Joe Biden ahutubia mkutano wa kimataifa kuhusu usalama wa mjini Munich. Siku tatu baada ya kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, Wazanzibari wanatafakari hali itakuwaje siku za usoni. Niger kumchagua rais mpya siku ya Jumapili wakati ambapo rais wa sasa Mahamodou Issoufou, anakamilisha mihula yake miwili.

https://p.dw.com/p/3pd1D