Wasiwasi kutokana na sherehe za kumshangilia mwanawe kiongozi wa Uganda, Muhoozi Kainerugaba/ Uganda: Malalamiko katika mahakama kupinga mwenendo, matamshi na vitendo vya Jenerali Muhoozi/ Vikosi vya Urusi vinafanya mashambulizi kuudhibiti mji muhimu wa badari wa Mariupol/ Ukosefu wa usalama katika maeneo kadhaa ya Bonde la Ufa nchini Kenya/ Rais wa Korea Kusini ashindwa kuitekeleza ahadi yake.