1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashujaa waliosahaulika wa wakati COVID-19

Angela Mdungu
28 Januari 2021

Nchini Ujerumani wasafishaji wanajikuta katika hatari ya kupata virusi vya corona wakiwa wanafanya usafi hospitalini na nyumba za kulea wazee. Ni watu wanaofaa kuitwa mashujaa katika kipindi hiki cha janaga la COVID-19.

https://p.dw.com/p/3oWKe