1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makundi ya wanamgambo kusitisha mapigano DRC

MITIMA23 Desemba 2019

Huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, makundi 32 ya wapiganaji Mai-Mai yanakusudia kusitisha mapigano kuanzia Disemba 23 katika mkoa wa Kivu Kusini ili kutoa fursa kwa juhudi za amani na usalama zinazofanywa na serikali. Mitima Delachance anaripoti kutoka Bukavu.

https://p.dw.com/p/3VGBM