1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makubaliano ya Eritrea na Ethiopia yanaashiria nini?

Lilian Mtono
13 Julai 2018

Ethiopia na Eritrea hazipo vitani tena, baada ya kufungua ukurasa mpya wa kimahusiano. Ni mengi yamekwishafanyika tangu kufikiwa kwa makubaliano ya Amani hivi karibuni. Je hatua hii ina maana gani kuelekea Amani ya kudumu kati ya mataifa hayo? Josephat Charo na wachambuzi wanazungumza katika “Maoni mbele ya meza ya Duara”.

https://p.dw.com/p/31PgB
Veronica Natalis,-  Praktikant DW Kiswahili
Josephat Charo, mwenyekiti (kulia) na Veronica Natalis, aliyefuatilia maoni ya wasikilizaji kwenye mitandao ya kijamii.Picha: DW/M. Wanja