Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dokta Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa serikali yake imejifunza makosa ya mataifa mengine juu ya dhana ya laana ya rasilimali katika kipindi ambacho serikali yake inaendelea na utafiti wa mafuta na gesi asilia ndani ya Bahari ya Hindi. Dotto Bulendu. amefanya mahojiano maalumu na Dr. Mwinyi.