1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahasimu kusitisha mapigano Libya

Sudi Mnette
26 Julai 2017

Viongozi mahasimu wakubaliana kusitisha mapigano nchini Libya, baraza la wawakilishi la Marekani limepiga kura kuunga mkono muswada unaolenga vikwazo vipya dhidi ya Urusi na Mmoja wa washauri wakuu wa Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis, Kadinali George Pell apandishwa kizimbani.

https://p.dw.com/p/2hBor