1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kombe la Ulaya na Afrika 2008

9 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBRN

MWISHOE :MICHEZO:

Katika kinyan’ganyiro cha kuania tiketi za finali ya kombe la Ulaya la Mataifa mwakani nchini Uswisi na Austria,Ujerumani jana ilipiga hatua nyengine ya kwenda huko kwqa kuilaza wales mabao 2:0.

Mabao yote yalikomewa na Miroslav klose.

Tanzania-Taifa Stars ilishindwa jana kutamba mbele ya jirani zao msumbiji ilipokomewa nyumbani bao 1:0 nahivyo kuwakatisha watanzania tamaa ya kwenda ghana 2008.

Namibia lakini iliibwaga Ethiopia mjini Addis Ababa 3-2 na kukata tiketi ya Accra.