1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kizungumkuti cha lugha ya kujifunzia Tanzania

George, Stumai3 Januari 2013

Mfumo wa elimu nchini Tanzania una lugha mbili, ambapo kwa muda wa miaka saba ya msingi, wanafunzi hujifunza kwa kutumia Kiswahili, masomo ya sekondari na vyuo yako kwa lugha ya Kiingereza. Je, wanafunzi wanawezaje?

https://p.dw.com/p/17CwD

Stumai George anaangalia namna mfumo wa lugha ya kufundishia ulivyo kizungumkuti na kikwazo kwa wanafunzi wa nchi hiyo kujifunza na kufanikiwa kimasomo na kimaisha.