JamiiUchimbaji wa makaa ya mawe watishia mazingira LamuTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiYusra Buwayhid21.08.201921 Agosti 2019Lamu ni visiwa vya kuvutia nchini Kenya, na vinavyolindwa na wakazi wake wenye ujasiri. Na ndiyo maana hivi karibuni walishinda kesi ya kupinga mradi wa uchimbaji wa makaa ya mawe wanaohofia utaharibu mazingira. https://p.dw.com/p/3OGZ4Matangazo