1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KINSHASA:Wanajeshi wa Kongo na Uganda kushirikiana

8 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBbH

Maafisa wa kijeshi wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na wenzao wa Uganda wamekubaliana kufanya kazi kwa pamoja kwa lengo la kulainisha hasli tete iliyozuka katika eneo la mpaka la mto Albert baada ya machafuko ya siku chache zilizopita yaliyosababisha kuuwawa watu wawili.