JamiiAfrikaKijue chakula cha asili cha Jamhuri ya Afrika ya KatiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaAmida Issa28.01.202128 Januari 2021Ukitembe mji mkuu wa Bangui chakula utakachokutana nacho ni pamoja na mihogo, wali, maboga na ndizi na nyama iliyochomwa. Bamia au gombo ni mboga maarufu. Karanga na siagi ya karanga pia hutumiwa sana. Andamana na Amida Issa kwa zaidi.https://p.dw.com/p/3oWdyMatangazo