Kenya: Naibu waziri wa mifugo aondolewa katika wadhifa wake
13 Septemba 2012Matangazo
Hatua hiyo imekuja baada ya naibu huyo waziri kupandishwa kizimbani kutokana na tuhuma za kutoa kauli za uchochezi .
Sudi Mnette alizungumza na mchambuzi wa siasa za Kenya, Yusuf Aboubakar ambaye kwanza anaelezea kufukuzwa kazi kwa waziri huyo kunaashiria nini?
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman