Kamishna mkuu wa UNHCR Antonio Guterres atembelea kambi za wakimbizi mashariki mwa Kongo
15 Oktoba 2009Matangazo
Pamoja na
mambo mengine anazitembelea kambi mbalimbali za wakimbizi katika
eneo la mashariki mwa nchi hiyo.
Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wetu kutoka Kongo, John Kanyunyu akiwa katika ziara ya Bwana Guteres na alianza kuelezea ziara nzima ya kamishna huyo:
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Hamidou, Oummilkheir