1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jokofu linalotumia nishati ya jua kuhifadhi nyama

9 Desemba 2021

Nyama ni bidhaa inayoharibika haraka hasa katika maeneo ya joto Na husababisha hasara kwa wafanyabiashara . Ili kuinusuru hali, mwanamazingira na mshindi wa tuzo ya Go Getters amezindua mradi wa jokofu linalotumia nishati ya jua kuhifadhi nyama. Ungana naye kwenye soko la nyama la Burma, Nairobi kufahamu mengi zaidi.

https://p.dw.com/p/442tK