JERUSALEM: Vikosi vya Israel vimeingia Ukanda wa Gaza
17 Juni 2007
https://p.dw.com/p/CBqr
Matangazo
Ripoti zinasema,Israel imepeleka vikosi na vifaru vyake,kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.Kwa mujibu wa afisa mmoja katika wizara ya ulinzi ya Israel, hatua hiyo ni ya kujikinga tu.