Deo Kaji Makomba amepata nafas ya kuzungumza na vijana waliothirika wa madawa ya kulevya walioko katika kituo cha kuwabadilisha Tabia cha Tasol mjini Dodoma, Tanzania. Je imekuaje wakaingia katika janga hili na wamefanikiwa vipi kujiokoa katika tatizo hili? Vijana Tugutuke inajibu masuali yote haya.