1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je unazijua athari za madawa ya kulevya?

Deo Kaji Makomba
1 Machi 2021

Deo Kaji Makomba amepata nafas ya kuzungumza na vijana waliothirika wa madawa ya kulevya walioko katika kituo cha kuwabadilisha Tabia cha Tasol mjini Dodoma, Tanzania. Je imekuaje wakaingia katika janga hili na wamefanikiwa vipi kujiokoa katika tatizo hili? Vijana Tugutuke inajibu masuali yote haya.

https://p.dw.com/p/3q3j4