1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, kuna mgawanyiko ndani ya Chadema?

Jacob Safari Bomani26 Novemba 2020

Kufuatia wanachama 19 wa chama cha upinzani Tanzania CHADEMA kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum kinyume na maagizo ya chama chao, DW ilizungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Tanzania, Azaveli Lwaitama, ili kufahamu hasa kinachoendelea katika chama hicho.

https://p.dw.com/p/3lsDs