1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jamii ya Karamajong yapigania kulinda utamaduni wake Uganda

30 Novemba 2011

Jamii ya Karamajong nchini Uganda ni maarufu kwa ufugaji ng'ombe kama ilivyo jamii ya Maasai katika nchi nyengine za Afrika ya Mashariki, ambayo nayo inaendelea kushikilia itikadi za utamaduni wake kwa mtazamo mkali.

https://p.dw.com/p/13Jsh
Watoto wa jamii ya Karamajong ya Uganda
Watoto wa jamii ya Karamajong ya UgandaPicha: DW

Mwandishi wetu wa Uganda, Leyla Ndinda ametembelea jamii ya Karamajong nchini humo kujua mfumo wao wa maisha na mambo wanayoendelea kuyalinda yasipotee.

Makala: Leyla Ndinda
Mhariri: Othman Miraji