JamiiAsia
India: Tamasha la ibada kwa waumini wa kihindu lafunguliwa
13 Januari 2025Matangazo
Kumbh Mela ni tamasha linaloadhimishwa na watu nchini India tangu miaka elfu moja iliyopita ambapo watu hukusanyika kuoga na kufanya ibada zao katika eneo linalounganisha mito mitatu ya Ganges, Yamuna na Saraswati.
Soma pia:Wahindu milioni 400 washiriki katika tamasha kubwa India
Waandaaji wa tamasha hilo wanasema ukubwa wa Kumbh Mela unaweza kujumuisha idadi yote ya watu wa katika nchi za Marekani na Canada.
India ndilo taifa lenye watu wengi zaidi duniani, likiwa na watu bilioni 1.4.